Niliota kuwa nimeolewa
Msichana mmoja hospitalini alienda akajifungua mapacha wakike na mapacha wakiume, wakaja na kunipa begi lake walilokuwemo wale mapacha, na mama alikuwa na mimi hospitalini na hatukumfahamu yule binti aliyejifungua. , na tulikuwa tunasambaza juice kwa watu kwa ajili ya kuzaliwa kwake, akaja mtu ambaye alitaka kupiga picha, kabla ya kupiga picha, niliomba kuficha.